Clatous Chama Kama Cristiano Ronaldo



Baada ya kuwasili Bongo Alfajiri ya leo Clatous Chama jioni ya leo amefanya mazoezi yake ya kwanza na uzi wa klabu ya yake mpya ya Singida black stars.

👉🏽 Kumbuka Chama amejiunga na Singida black stars kama mchezaji huru baada ya kumalizana na Young Africans. Singida Black stars wamempatia mkataba wa mwaka mmoja.

👉🏽 Mazoezini Chama ameonekana amevalia Jezi namba 7 ambayo ni jezi maarufu zaidi kwasababu inavaliwa na moja ya wachezaji bora duniani Cristiano Ronaldo.

👉🏽 Kesho Singida black stars Watacheza na Polisi kenya kwenye mchezo wa Cecafa kagame Cup saa 10:00 jioni.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad