Simba Yamtambulisha Anthony Mligo Kutoka Namungo

 

Simba Yamtambulisha Anthony Mligo Kutoka Namungo

Klabu ya Simba imethibitisha kuinasa saini ya mlinzi wa kushoto, Anthony Mligo kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Namungo Fc ikiwa ni muendelezo wa kuboresha kikosi chake kuelekea msimu mpya wa 2025/26.


Mligo (17) raia wa Tanzania anatua klabuni hapo huku Mnyama akiwa na matumaini makubwa kutokana na ubora alionao na anatarajiwa kuziba pengo lililoachwa na aliyekuwa nahodha Mohammed Hussein Zimbwe Jr ambaye ameondoka klabuni hapo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad