Mpira Hauwekezwi Kwenye PESA za Magoli, Bali Uwekezaji Katika Academy

Mpira Hauwekezwi Kwenye PESA za Magoli, Bali Uwekezaji Katika Academy


Tusidanganyane kugawa pesa kwenye goli endapo mashindano yakitokea sio njia sahihi ya kukuza mpira wetu bali kwenye accademy

ukifatilia timu nyingi za mataifa wamewekeza kwenye academy na sasa zinapata matokeo mfano mzuri senegal, morroco, ivory coast kila siku uwezi kukuta timu inacheza vibaya kwanini uwekezaji kwenye academy


Kwanini hizo pesa zaidi ya millioni 500 serekali walizotoa mpaka saivi wasingewaandalia under 20 nzuri ili baadae tupate timu yenye uwezo na sio timu ya kuhaidiwa


Yani ni kama mwanafunzi hasomi alafu mtihani ukitokea wazazi wanamuahidi zawadi


Yani mpaka mashamba, magari wapewe kwelii ndo tumefikia huko

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad