Morocco Yaiondosha Senegal na Kuifuata Madagascar Fainali CHAN

Morocco Yaiondosha Senegal na Kuifuata Madagascar Fainali CHAN


Mabingwa watetezi wa Kombe la Mataifa Afrika kwa wachezaji wa ndani, Senegal wametupwa nje ya michuano hiyo kufuatia kipigo cha penalti 5-3 dhidi ya Morocco katika katika dimba la Mandela, Kampala.


Simba wa milima ya Atlas, Morocco wametinga fainali ya CHAN2024 ambapo watachuana na Madagascar iliyofikia hatua hiyo baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Sudan. Simba wa Teranga watachuana na Sudan kuwania nafasi ya mshindi wa tatu.


FT: Morocco 🇲🇦 1-1 🇸🇳 Senegal (P 5-3)

⚽ 23’ Bougrine

⚽ 16’ Samb


MATUTA: 🇲🇦 5-3 🇸🇳

🇲🇦Morocco ✅✅✅✅✅

🇸🇳Senegal ❌✅✅✅


FAINALI

Madagascar 🇲🇬🆚 🇲🇦 Morocco


MSHINDI WA TATU

Sudan 🇸🇩 🆚 🇸🇳 Senegal

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad