Mobile

Kocha Gamondi Kurejea Tanzania Kuifundisha Timu Hii...




JUST IN: Klabu ya Singida Black Stars imewasiliana rasmi na Miguel Gamondi kwa nia ya kumteua kuwa kocha wao mkuu kwa msimu ujao.

Mazungumzo tayari yameanza — na kuna uwezekano mkubwa Gamondi akarejea Tanzania, kufuatia kipindi chake cha awali alipokuwa na Yanga SC.

Taarifa zaidi zitafuata kadri zinavyotufikia 👀
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad