Mobile

BREAKING: Denis Nkane Yupo Huru Kwa Sasa....



Aliyekuwa Kiungo Mshambuliaji wa Klabu ya Yanga, Denis Nkane ni mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na Mabingwa hao wa Tanzania. Mpaka sasa hakuna mazungumzo yoyote kati yake na Yanga juu ya kuongeza mkataba mpya.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad