Fabrice Ngoma Bonge la Kiungo, Chuma Kiliwaka Jana

Fabrice Ngoma Bonge la Kiungo, Chuma Kiliwaka Jana


Licha ya uwanja wa SOKOINE kuwa si rafiki sana katika game ya TZ Prisons dhidi ya Simba lakini Fabrice Ngoma alikuwa anapiga pasi za hali ya juu sana ( Clean pass ) zinazovunja mstari wa kiungo na ulinzi wa timu pinzani “ Between the lines “

Backup nzuri sana kwa kikosi aisee , alikuwa akipiga pasi nzuri sana kwa Kibu Denis , Ladack Chasambi na Lionel Ateba ( Zinafika kwa usahihi sana utafikiri hajacheza mechi kadhaa aisee : Bonge moja la kiungo

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad