Maskini ATEBA, Atwemwa na Simba Akiwa Pre Season, Awaaga Wenzake

Maskini ATEBA, Atwemwa na Simba Akiwa Pre Season, Awaaga Wenzake

Usiku huu Ateba ameaga na kuondoka kwenya kambi ya Simba pale Misri, It’s Over kati ya Simba na Ateba

Naby Camara amechukua nafasi ya Ateba kwenye orodha ya wachezaji wa kigeni, Ikumbukwe dirisha la usajili la kimataifa linafungwa leo saa 6 usiku

Taarifa za kiutondoti yakinifu zinaeleza kuwa mshambuliaji Lionel Ateba tayari ametemwa kwenye kikosi cha Simba kuelekea msimu ujao.

Tayari wachezaji wenzake na baadhi ya viongozi waliosafiri Cairo wameshamuaga.

Inaelezwa Mnyama Simba bado yupo kwenye mawindo ya kuongeza mshambuliaji mwingine hatari.

Hata maisha ya Mutale bado sio mazuri kwenye kikosi cha simba sc amekalia kuti kavu.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad