Baada ya Kuonesha Kiwango Bora CHAN, Simba Wamtaka Allan Okello

Baada ya Kuonesha Kiwango Bora CHAN, Simba Wamtaka Allan Okello


Baada ya kuonyesha kiwango bora katika michuano ya Chan inayoendelea katika mataifa matatu

Tanzania.Kenya&Uganda .Kiungo fundi Allan Okello ameingia Kwenye headline huku akiimbwa Sana na mashabiki wa Simba SC

Huku mashabiki hao wa Simba wakitamani Kiungo huyo wa taifa la Uganda asajiliwe kilabuni hapo na kuchukua nafasi ya Joshua mutale mzambia huyo ambaye amekua na panda shuka nyingi za kiwango chake

JE unaonaje kiwango cha Allan Okello Ni kweli amemzidi ubora Joshua mutale

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad