Mzize kwa Sasa ni Lulu Hivyo Hauzwi Kwa hasara, Thamani Yapanda Zaidi CHAN

Mzize kwa Sasa ni Lulu Hivyo Hauzwi Kwa hasara, Thamani Yapanda Zaidi CHAN


Yanga wanaamini thamani ya Mzize inazidi kupanda siku hadi siku kutokana na kiwango cha Mzize kwenye michuano ya CHAN.

Kabla ya CHAN kuanza Yanga walikadiria Mzize ana thamani ya $1m ila kutokana na kiwango chake kwa siku za hivi karibuni Yanga wanahisi thamani yake imepanda zaidi na kama ataendelea kukiwasha basi thamani yake itapanda zaidi hadi $2m.

Mauzo ya wachezaji ni biashara kubwa duniani,thamani za wachezaji zinabadilika kila kukicha kutokana na viwango vyao,Yanga pia wanalijua hilo.

Mzize kwa sasa ni Lulu hivyo hauzwi kwa hasara.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad