Kocha Mbwana Makata Apewa Thank You na Timu ya Prison

 

Kocha Mbwana Makata Apewa Thank You na Timu ya Prison

Klabu ya Tanzania Prisons imesitisha mkataba wa Kocha Mkuu Mbwana Makata kutokana na mwendelezo wa matokeo yasiyoridhisha kwenye Ligi tangu alipopewa majukumu ya kuiongoza timu hiyo ya Jeshi la Magereza.


Kocha Shaban Kazumba na Shaban Mtupa ndio wataongoza jahazi la Tanzania Prisons kwa sasa wakati mipango ya kupata kocha mwingine ikiendelea.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad