“Naomba tuache fitina, hatutaki fitina Naomba tuache fitina tukaze kamba tuwe kitu kimoja, tuache kugawanyika, tusigawanyike.
“Kila anayejitolea kuongoza tusimuangushe kwa maneno ya majungu na fitina, umoja ni nguvu,” Rais wa Heshima na Mwekezaji wa Simba Sc, Mohammed Dewji kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka 2024 wa klabu hiyo
“Naomba tuache fitina, hatutaki fitina Naomba tuache fitina tukaze kamba tuwe kitu kimoja, tuache kugawanyika, tusigawanyike.
“Kila anayejitolea kuongoza tusimuangushe kwa maneno ya majungu na fitina, umoja ni nguvu,” Rais wa Heshima na Mwekezaji wa Simba Sc, Mohammed Dewji kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka 2024 wa klabu hiyo.
"Nimerudi Simba kwaajili ya kurejesha malengo ya Simba, nataka tuchukue ubingwa wa Afrika na hili linawezekana kama wanasimba tutakuwa pamoja" - Mo Dewji