EURO2024: Radi yasimamisha mechi ya Ujerumani na Denmark

 

EURO2024: Radi yasimamisha mechi ya Ujerumani na Denmark

Hii ni radi ambayo imepiga muda si mrefu katika uwanja ambao Mechi ya hatua ya 16 bora ya #EURO2024 kati ya Ujerumani dhidi ya Denmark ilikuwa ikiendelea hali iliyosababisha mpira kusimamishwa, na baada ya hali ya hewa kutulia mchezo uliruhusiwa kuendea na hivi sasa ni Mapumziko.


HT: Germany 0-0 Denmark


Hii radi ingetokea bongo pale Lupaso unadhani wabongo wangesemaje?

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad