Mamelodi: Yanga na Mamelodi ni vilabu bora Afrika

Mamelodi: Yanga na Mamelodi ni vilabu bora Afrika

Kocha Mkuu wa Yanga SC, Miguel Gamondi amesema bado wana nafasi ya kusonga mbele hatua ya Nusu Fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) kwakuwa wana mchezo wa marudiano katika Uwanja wa Loftus Versfeld Aprili 05, 2024 ndani ya Jiji la Pretoria nchini Afrika Kusini.


Akizungumza mara baada ya kutamatika dakika 90' za Robo Fainali ya CAFCL kati ya Yanga SC dhidi ya Mamelodi Sundowns, Gamondi amesema matokeo ya mchezo huu ni mipango yake kuwaruhusu Mamelodi kucheza zaidi katika eneo lao, ambacho hakina madhara kimatokeo.


"Tulipaswa kushinda mchezo. Tumecheza vizuri, tumetengeneza nafasi ila hatukuweza kuzitumia," amesema Mokwena.


Akizungumzia kuhusu mchezo ulivyokuwa, Gamondi amesema ulikuwa mchezo mgumu kati ya timu bora barani Afrika.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.