Yanga Washaanza Kutoa 'THANK YOU' Beki Huyu Aanzisha Safari Rasmi

 

Yanga Washaanza Kutoa 'THANK YOU' Beki Huyu Aanzisha Safari Rasmi

Yanga Washaanza Kutoa 'THANK YOU' Beki Huyu Aanzisha Safari Rasmi

Klabu ya Young Africans itaachana na beki wake wa kati raia wa Uganda Gift Fred kwenye dirisha dogo la mwezi January.

Klabu ya Young Africans itaachana na beki wake wa kati raia wa Uganda Gift Fred kwenye dirisha dogo la mwezi January. Nyota huyo amekuwa hapati namba kwenye kikosi cha Yanga tangu alipojiunga na kikosi hicho kwenye dirisha kubwa la usajili msimu huu.

SOMA PIA: Ligi Bora Africa | Best Football Leagues in Africa 2023/2024



Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.