Matokeo Mshindi wa Tatu Azam na Singida Fountain Gate Leo, Ngao ya Jamii Haya Hapa


Dakika 90’ za mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu zimemalizika kwa Azam FC kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 mbele ya Singida FG .

Kwa matokeo haya maana yake Singida wamecheza mechi mbili bila kupata bao ! Azam FC wamemaliza kwa uwiano sawa walifungwa 2-0 dhidi ya Yanga leo wameshinda 2-0 dhidi ya Singida .

Mchezo ujao ni Simba SC VS Yanga matangazo yatakuwa LIVE CloudsFM

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.