Yanga Kuanza na Asas FC ya Djibout Ligi ya Mabingwa CAF

 

Yanga Kuanza na Asas FC ya Djibout Ligi ya Mabingwa CAF

Yanga Kuanza na Asas FC ya Djibout Ligi ya Mabingwa CAF

 Droo ya hatua ya awali na raundi ya kwanza ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika imefanyika Misri leo

Mabingwa wa soka Tanzania Bara Yanga wataanza hatua ya awali kwa kuwakabili Asas Fc ya Djibout mchezo wa kwanza ukitarajiwa kupigwa ugenini

Kama Yanga itafanikiwa kuvuka hatua ya awali, raundi ya kwanza itakutana na mshindi wa mchezo kati ya AS Otoho (Congo) dhidi ya El Merrikh (Sudan)

Yanga itaanzia ugenini katika hatua ya awali na raundi ya kwanza ambapo kama itafanikiwa kushinda itatinga hatua ya makundi

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.