TETESI: Unaambiwa Straika Mrithi wa Fiston Mayele Awawekea Ngumu Yanga

 

TETESI: Unaambiwa Straika Mrithi wa Fiston Mayele Awawekea Ngumu Yanga

TETESI: Unaambiwa Straika Mrithi wa Fiston Mayele Awawekea Ngumu Yanga 

Tetesi ni kwamba mrithi wa Mayele ambaye ni Emmanuel Mahop Dikongue (28) kutoka Cameroon amewawekea ngumu Yanga Sc kwenye kipengele cha mshahara.

Taarifa zinaeleza kuwa mchezaji huyo anataka kulipwa milioni 35 kwa mwezi huku Yanga wakimuwekea milioni 20 mezani.

Makubaliano binafasi kati ya Timu na Mchezaji Huyo ndo yanayokwamisha dili hilo kukamilika hadi hivi sasa.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.