Feisal Salum 'Akiondoka Eng. Hersi Narudi Yanga Hata Leo'

 

Feisal Salum na Eng. Hersi
Feisal Salum na Eng. Hersi 

KUHUSU KURUDI YANGA

“Mimi sina shida na Yanga, sina ugomvi na mashabiki/wanachama wa Yanga, hata hapa nilipo ni kwa sababu ya Yanga! Bahati mbaya wanaaminishwa mimi mbaya lakini mimi nawapenda kama wanavyonipenda!


“Mimi tatizo langu kubwa ni Rais wa timu [Eng. Hersi Said] ndio maana nilipokaanae chini nilimweleza kwamba naomba tumalizane ili kila mmoja aendelee na mambo yake ili na mimi niendelee na maisha yangu.”


“Kama Eng. Hersi Said akiondoka Yanga hata leo sasa hivi mimi nipo tayari kurudi Yanga. Sina tatizo na Yanga wala mashabiki, akiondoka Rais kwenye klabu mimi sasa hivi nafunga safari ya kurudi Yanga.”


- Feisal Salum via #PowerBreakFast @cloudsfmtz

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.