Wakala wa Mchezaji Pepe Sakho Achukizwa na Mchezaji Wake Kukalishwa Benchi na Kibu Denis

Published from Blogger Prime Android App

Kilichopo hivi sasa, Wakala wa Pape ameiandikia barua klabu ya Simba akiwaomba wamuachie mteja wake aondoke endapo ofa nzuri ikija kwani mchezaji wake hana furaha baada ya kukosa namba kwenye kikosi cha kwanza cha klabu ya Simba

Tokea aingie kocha Robertinho amekuwa akimpa nafasi zaidi Kibu Denis na kumuweka benchi Pape Sakho kitendo ambacho wakala wa Sakho anaona mteja wake anauwezo wa kuanza kikosi cha kwanza

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.