TETESI: Mastaa Pape Sakho na Moses Phiri Hawana Furaha Simba, Kisa Hichi Hapa

Published from Blogger Prime Android App

Naambiwa hapa; Mastaa kama Pape Sakho 🇸🇳 na Moses Phiri 🇿🇲 licha ya kutegemewa kutokana na ubora wao ila ni miongoni mwa wanaotajwa pia kutaka kuondoka kutokana na kutokuwa na furaha tangu Robertinho alipoingia ndani ya kikosi hicho Januari 3, mwaka huu.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.