Shafih Dauda Awashukia Simba "Unachezeshaje Kipa Ambae Hana Uzoefu?"

Published from Blogger Prime Android AppSimba ina makipa wawili timu ya Taifa , mmoja kapata majeraha mwingine yupo fiti unamuacha unaenda kuchezesha Kipa ambaye hana uzoefu , ni kujipiga shoti mwenyewe"

"Kama mlikuwa mnahofu kwanini kwenye sub alikuwa anakaa ? Je ingetokea Salim ameumia ? " Shafih Dauda

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.