Mshambuliaji wa Marumo Kuja Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele Yanga

Published from Blogger Prime Android App

Mshambuliaji wa klabu ya Marumo Gallants raia wa Afrika Kusini, Ranga Chivaviro anatajwa na viongozi wa Yanga kuja kuchukua nafasi ya Fiston Mayele ambaye msimu ujao kuna uwezekano mkubwa akatimka ndani ya klabu hiyo

Ranga mpaka hivi sasa ameshapachika jumla ya mabao matano kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu sawa na Fiston Mayele wa Yanga

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.