Mtwara | “Maandalizi yote ya kucheza mchezo wa Nusu Fainali ya Azam Sports Federation Cup yamekamilika, hakuna ambae hajui uzito wa mchezo huo. Tunacheza dhidi ya timu yenye wachezaji wazuri na benchi la ufundi zuri.”
“Naamini mchezo utakuwa wenye ushindani mkubwa, kwa kulielewa hilo maandalizi yote ya kucheza mchezo wa aina hiyo yamekamilika.”
- Juma Mgunda, Kocha Msaidizi Simba.