Kipa Ally Salim Akabidhiwa tuzo, Kitita Mchezaji Bora wa Mwezi

 


Mlinda mlango wa Simba Ally Salim akikabidhiwa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki wa Simba kwa mwezi Aprili mwaka huu, inayoambatana na fedha taslimu Sh. Milioni 2 kutoka kwa wadhamini, kampuni ya Emirate Aluminium Profile.


Ally Salim alikuwa na kiwango bora kwa Mwezi Aprili akiziba vyema Pengo la Aishi Manula ambae anatajwa kuwa majeruhi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.