Kikosi cha Yanga Vs Marumo Gallants Leo Tarehe 10 May 2023

Kikosi cha Yanga Sc vs Marumo Gallants leo Tarehe 10 May 2023


Mechi ya nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Yanga na Marumo Gallants itapigwa Jumatano Mei 10 saa 10:00 jioni katika Uwanja wa Mkapa jijini Dar na marudio yatakuwa Mei 17 nchini Afrika Kusini saa 1:00 usiku.


Yanga ambao ndio wawakilishi pekee wa Tanzania waliobaki katika Michuano ya CAF msimu huu baada ya Simba kuondolewa katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

 Kikosi cha Yanga Sc vs Marumo Gallants leo Tarehe 10 May 2023

Djigui Diarra

Kibwana Shomari

Joyce Lomalisa

Ibrahim Bacca

Bakari Mwamnyeto

Yannick Bangala

Khalid Aucho

Mudathir Yahya

Fiston Mayele

Aziz Ki

Jesus Molok


SOMA PIA: Yanga Waivimbia CAF "Tumeonewa Kupigwa Fine Sisi Sio Wakwanza Kupiga Mafataki"


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.