Haya Hapa Makombe Ambayo SIMBA Msimu Huu Wamekufa Kiume, Nani Kupewa Lawama?

 

Haya Hapa Makombe Ambayo SIMBA Msimu Huu Wamekufa Kiume, Nani Kupewa Lawama?

Makombe ambayo Simba ‘wamekufa kiume’ msimu huu:

-Mapinduzi Cup

- Mabingwa Afrika

- Azam Federation

Kwa upande wa Ligi Kuu bado bingwa hajapatikana. Yanga wakifungwa mechi zote zilizobaki, Simba wanaweza kuwa mabingwa ‘kiume’ na mashabiki wao ‘wasiwadai’.

Je kuna haja ya wanasimba kutafuta Mchawe au warudi nyuma wajipange upya kimya kimya?

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.