Haji Manara "Goli la Benard Morrison Funzo Katika Maisha"

Published from Blogger Prime Android App

Ni funzo hata kwenye Maisha ya kawaida, Ukiteleza Simama tena na usikubali kukata tamaa, Usiogope kuzodolewa na Waja unapoteleza.

Ndioooooooooooo, Wote ambao tuliowahi kuzodolewa na kutokubali kushindwa tulifanya hivyo , tuliinuka tukasimama tena kisha tukashinda.

Morrison @bm3gh hafiki mbali na hana kitu 🤪🤪lakini ni Mwanamme halisi wa kiafrika, ametupa somo kubwa jana katika maisha.

Ukishakuwa na Malengo yako usikubali kuangushwa kisha eti ukae kitako, Morrison tusimpe Maua tumpe Asumini zake.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.