![Published from Blogger Prime Android App](https://firebasestorage.googleapis.com/v0/b/bloggerprime.appspot.com/o/images%2F105004891544165574783%2Fimages%20-%202023-05-11T121719.093.jpeg?alt=media&token=8ccf7896-97b9-4322-b9c6-29c03f3211a3)
Ni funzo hata kwenye Maisha ya kawaida, Ukiteleza Simama tena na usikubali kukata tamaa, Usiogope kuzodolewa na Waja unapoteleza.
Ndioooooooooooo, Wote ambao tuliowahi kuzodolewa na kutokubali kushindwa tulifanya hivyo , tuliinuka tukasimama tena kisha tukashinda.
Morrison @bm3gh hafiki mbali na hana kitu 🤪🤪lakini ni Mwanamme halisi wa kiafrika, ametupa somo kubwa jana katika maisha.
Ukishakuwa na Malengo yako usikubali kuangushwa kisha eti ukae kitako, Morrison tusimpe Maua tumpe Asumini zake.