Chama Afunguka Sababu ya Kukosa Ubingwa Msimu wa Pili

Published from Blogger Prime Android AppBaada ya mchezo wa Simba dhidi ya Ruvu Shooting, kiungo mshambuliaji Clatous Chama ametoa Sababu za wao kukosa ubingwa kwa msimu wa pili mfululizo

"Ni vitu vidogo vidogo tu, kuna wakati ni wachezaji wenyewe lakini pia kuna wakati ni vitu vya nje ya uwanja"

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.